Michezo

Floyd Mayweather Macho yake kwenye fedha

0
Floyd Mayweather Macho yake kwenye fedha
Floyd Mayweather

Bondia wa Nchini Marekani Floyd Mayweather amesema yeye macho yake yapo kwenye fedha.

Amesema hawezi kupambana kama pambano litakuwa na fedha kidogo kwani hiyo ni kazi yake. Mayweather amesema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari nchini Marekani.

“Unajua ngumi ni mchezo hatari, kama mtu anaweza kutoa dola Milioni 300 kudhamini pambano langu na Conor McGregor aje,” alisema.

Tayari kuna tarifa kuwa Mayweather anaweza kupambana  ulingoni na Conor McGregor kwa dola Milioni 210.

Soma pia:  Usher na Rich the Kid wavamiwa studio

Comments

Comments are closed.

More in Michezo