Mbunge wa Singida Mashariki, Mh.Tundu Lissu amewasili katika mji wa Brussels, nchini Ubelgiji akitokea mji wa Nairobi, nchini Kenya kwa ajili ya matibabu zaidi na mazoezi ya viungo.
Jana tarehe 6 januari 2018 aliondoka katika Hospitali ya Nairobi alikolazwa kwa takribani miezi minne (4) akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa na risasi akiwa nyumbani kwake mji wa Dodoma, nchini Tanzania.
![Matibabu ya Tundu Lissu](https://www.jihabarishe.com/swahili/wp-content/uploads/2018/01/LISSU-2.jpg)
![Matibabu ya Tundu Lissu](https://www.jihabarishe.com/swahili/wp-content/uploads/2018/01/LISSU-3.jpg)
Comments