Top Stories

SUMATRA kuruhusu mabasi ya mikoani kusafiri usiku

0
mabasi ya mikoani kusafiri usiku
Stendi ya mabasi ya mikoani Ubongo, Dar es salaam.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu nchini Tanzania (SUMATRA), imetoa tamko kuwa imepanga kuruhusu mabasi ya mikoani kufanya safari zake muda wote (mchana na usiku), ikiwa ni hatua za kuongeza tija katika sekta ya usafiri nchini.

Soma pia:  Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kuokotwa kwa mwili wa mmiliki wa Super Sami

Comments

Comments are closed.

More in Top Stories