Top Stories

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Takukuru

0
Kassim Majaliwa ameiagiza Takukuru
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameiamuru Tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoani mara kumkamata na kumhoji Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Musoma (MUWASA), Mhandisi Gantala Said kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

Waziri Mkuu alifikia uamuzi huo jana Januari 19,2018, Akizungumza katika kikao maalumu cha kujadili changamoto za utekelezaji wa miradi ya maji Mkoani Mara.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Bw. Adam Malima, aliagiza kufungwa kwa ofisi za MUWASA na kuwataka wafanyakazi na mamlaka hiyo kutoruhusiwa kuingia ofisini hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.

Kassim Majaliwa ameiagiza Takukuru
page 1
Kassim Majaliwa ameiagiza Takukuru
Page 2
Soma pia:  Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kuokotwa kwa mwili wa mmiliki wa Super Sami

Comments

Comments are closed.

More in Top Stories